Back to Top

Ninogeshe Video (MV)




Performed By: Nandy
Length: 3:53




Nandy - Ninogeshe Lyrics
Official




Aai ni wewe ubavu wangu mwenyewe
Ukifa nizikwe na wewe, nikifa uzikwe na mie
Oh baby wee

Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Aaah kwachukwachu kushea na watu sitaaki
Ooh baby
Boda boda yangu vipi nipande mishikaki
Siwezi!

Basi ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Unanipaga furaha hivi
Ukiniacha utanipa jaka la roho
Nipe mimi kwingine we useme no
Shinde ibilisi kwenye kichwa chako ooohoo

Mi mwenzako mkiwa baba
Mkiwa wa wapenzi baba
Usinione nalia sana
Nalilia mapenzi

Mi mwenzako mkiwa baba
Mkiwa wa wapenzi baba
Usinione nalia sana
Nalilia mapenzi

Chochote utachoniambia (sawa)
Mimi nitaridhia baba
Hata ukiwa mbali nitasubiria

Ah basi ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Tusiwe tysoni naivanda kisa kosa
(Kupendana na wewe)
Presha kupanda kushuka kisa nini?
(Kupendana na wewe)
Mi mwenzako nakupenda nafurahi
(Kupendana na wewe)
Nivike pete ya roho isiyotoka, mmmh!

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Aai ni wewe ubavu wangu mwenyewe
Ukifa nizikwe na wewe, nikifa uzikwe na mie
Oh baby wee

Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Aaah kwachukwachu kushea na watu sitaaki
Ooh baby
Boda boda yangu vipi nipande mishikaki
Siwezi!

Basi ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Unanipaga furaha hivi
Ukiniacha utanipa jaka la roho
Nipe mimi kwingine we useme no
Shinde ibilisi kwenye kichwa chako ooohoo

Mi mwenzako mkiwa baba
Mkiwa wa wapenzi baba
Usinione nalia sana
Nalilia mapenzi

Mi mwenzako mkiwa baba
Mkiwa wa wapenzi baba
Usinione nalia sana
Nalilia mapenzi

Chochote utachoniambia (sawa)
Mimi nitaridhia baba
Hata ukiwa mbali nitasubiria

Ah basi ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe
Ninogeshe, ninogeshee baby
Baby ninogeshe

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Tusiwe tysoni naivanda kisa kosa
(Kupendana na wewe)
Presha kupanda kushuka kisa nini?
(Kupendana na wewe)
Mi mwenzako nakupenda nafurahi
(Kupendana na wewe)
Nivike pete ya roho isiyotoka, mmmh!

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu

Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tu
Raha, raha tupu
Kupendana na wewe, raha tupu
[ Correct these Lyrics ]

Back to: Nandy

Tags:
No tags yet