Back to Top

Desekepi Music - Muuh Flavour Maradhi Lyrics



Desekepi Music - Muuh Flavour Maradhi Lyrics




Unapokuwa uko mbali, muda mwengine naumia
Kweli ngumu hali, ninaivumilia
Unapokuwa uko mbali, muda mwengine naumiaaah
Kweli ngumu hali, ninaivumilia aaaah

Sina kikubwa cha kukupa mama ilaaaah
Nakuombea baby, kwa Maulana
Sina kikubwa cha kukupa mama, ilaaaah
Nakuombea baby, kwa Maulana

Kumbe ulikuwa unanidanganya
Nikitoka nyuma unanitukana
Eti kisa nakupenda sana
Ukaamua unifanyie hivyo

Natamani kwenda kusema kwa mama
Ila mi naogopa sana
Nitapata dhambiiiii, kwa Mwenyeziiii

Namaradhi aaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaah, ya mapeenzi
Namaradhi aaaaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaaaah, ya mapeenzi

Natamani ungelikuwa karibu yangu
Uguse moyo unavyodunda moyo wangu
Oooh Yarab, inusuru nafsi yangu
Isirudi nyuma, nipambane na hali yangu weeeh

Nimetuma letter, minadhani umeisoma
Maumivu ya moyo, ndani umeyaona
Najitahidi kuyaepuka
Ila bado yananichomaaah

Kungekuwa na vidonge
Uwenda ningeponaaah

Kumbe ulikuwa unanidanganya
Nikitoka nyuma unanitukana
Eti kisa nakupenda sana
Ukaamua unifanyie hivyo

Natamani kwenda kusema kwa mama
Ila mimi naogopa sana
Nitapata dhambiiiii, kwa Mwenyeziiii

Namaradhi aaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaah, ya mapeenzi
Namaradhi aaaaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaaaah, ya mapeenzi,
[ Correct these Lyrics ]

[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

Unapokuwa uko mbali, muda mwengine naumia
Kweli ngumu hali, ninaivumilia
Unapokuwa uko mbali, muda mwengine naumiaaah
Kweli ngumu hali, ninaivumilia aaaah

Sina kikubwa cha kukupa mama ilaaaah
Nakuombea baby, kwa Maulana
Sina kikubwa cha kukupa mama, ilaaaah
Nakuombea baby, kwa Maulana

Kumbe ulikuwa unanidanganya
Nikitoka nyuma unanitukana
Eti kisa nakupenda sana
Ukaamua unifanyie hivyo

Natamani kwenda kusema kwa mama
Ila mi naogopa sana
Nitapata dhambiiiii, kwa Mwenyeziiii

Namaradhi aaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaah, ya mapeenzi
Namaradhi aaaaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaaaah, ya mapeenzi

Natamani ungelikuwa karibu yangu
Uguse moyo unavyodunda moyo wangu
Oooh Yarab, inusuru nafsi yangu
Isirudi nyuma, nipambane na hali yangu weeeh

Nimetuma letter, minadhani umeisoma
Maumivu ya moyo, ndani umeyaona
Najitahidi kuyaepuka
Ila bado yananichomaaah

Kungekuwa na vidonge
Uwenda ningeponaaah

Kumbe ulikuwa unanidanganya
Nikitoka nyuma unanitukana
Eti kisa nakupenda sana
Ukaamua unifanyie hivyo

Natamani kwenda kusema kwa mama
Ila mimi naogopa sana
Nitapata dhambiiiii, kwa Mwenyeziiii

Namaradhi aaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaah, ya mapeenzi
Namaradhi aaaaaah, oooh maleriaaah
Namaradhi aaaaaah, ya mapeenzi,
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Peter Senyota
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid

Back to: Desekepi Music



Desekepi Music - Muuh Flavour Maradhi Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Desekepi Music
Language: English
Length: 4:08
Written by: Peter Senyota
[Correct Info]
Tags:
No tags yet