Back to Top

Flier - Chandarana Lyrics

theme

Flier - Chandarana Lyrics




Nime ku search ka employees wa Chandarana
Kichwa imejaa tu ma memories za mwaka jana
Kabla ujiunge na ile kambi ya Owuor
Kabla ununuie zile koti za Shaft
Awuor, Awuor, Awuor
Ni wapi nilikosa
Kwani sikukupenda ya kutosha
SGR iko tu hapa
Sema ng'we unione Mtapwa
Baby, weh ndio nataka
Sijui mbona unanikataa
Je, kwani ulipata mwengine
Usiseme ulipata mwengine
Ni ka ulipata mwengine

Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance
Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance

Najua unataka kuenda maobi
Lakini ni subiri kwanza
Niko Miritini naja
Nieleze kile wadai (kile)
Kwani hujachoka kujifanya hudai (vile)
Vile ulianza kwenda Church wajidai
Ushakua Jesus Christ
Si juzi juzi ulisema una ni like

Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance
Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda

Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Hii uchungu naskia si love
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Hii uchungu naskia si love
Nitakusema kwa
God

Awuor, Awuor, Awuor
Kwani ulipata mweng
Mwengine ine
Usiseme ulipata mwengine
Kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
Usiseme ulipata mwengine
Awuor, Awuor, Awuor
Kwani kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
(No no no no)
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to
Kwa kwani si
Kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
Tosha
(No no no no)
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


Romanized

Nime ku search ka employees wa Chandarana
Kichwa imejaa tu ma memories za mwaka jana
Kabla ujiunge na ile kambi ya Owuor
Kabla ununuie zile koti za Shaft
Awuor, Awuor, Awuor
Ni wapi nilikosa
Kwani sikukupenda ya kutosha
SGR iko tu hapa
Sema ng'we unione Mtapwa
Baby, weh ndio nataka
Sijui mbona unanikataa
Je, kwani ulipata mwengine
Usiseme ulipata mwengine
Ni ka ulipata mwengine

Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance
Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance

Najua unataka kuenda maobi
Lakini ni subiri kwanza
Niko Miritini naja
Nieleze kile wadai (kile)
Kwani hujachoka kujifanya hudai (vile)
Vile ulianza kwenda Church wajidai
Ushakua Jesus Christ
Si juzi juzi ulisema una ni like

Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda
Bado tuna ka chance
Sema
Sema una regret
Sema
Sema una ni miss
Sema
Bado unanipenda

Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Hii uchungu naskia si love
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Nitakusema kwa God
Nitakushtaki kwa Mungu
Hii uchungu naskia si love
Nitakusema kwa
God

Awuor, Awuor, Awuor
Kwani ulipata mweng
Mwengine ine
Usiseme ulipata mwengine
Kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
Usiseme ulipata mwengine
Awuor, Awuor, Awuor
Kwani kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
(No no no no)
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to
Kwa kwani si
Kwani siku
Kupenda ya
Penda ya
Penda ya
Penda ya kuto to to to
Tosha
(No no no no)
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Benson Mhando
Copyright: Lyrics © O/B/O DistroKid
LyricFind

Back to: Flier



Flier Chandarana Video


Performed By: Flier
Language: Swahili
Length: 4:21
Written by: Benson Mhando

Tags:
No tags yet