Back to Top

Jux - Sumaku Lyrics



Jux - Sumaku Lyrics
Official




[ Featuring Vanessa Mdee ]

Vee Money on the track yeah

Shawty badder
She got me high kama beat ya S2kizzy
Nisipomuona sekunde nammiss
Najiuliza amenipa ninii?

Kila stori ninayopiga ye ndo mada
Nangombana kabisa wakimdiss
Na kuumia kwa moyo nahisi
Najuliza amenipa niniii?

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
Belong to you, belong to me beiby
Ananivuta vuta kama magneti
Duu na duu na duu na duu beiby

Ananivuta vuta kama magneti
Yeah yeah yeah
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do, ooh yeah

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! Sumaku!

Beiby please,
Tell me once more what you like about the feeling?
Honestly,

I wanna show you am feeling you too
Lemmi take you to a nice place
Tuzime taa

Nivute nikunase, utashangaa
Nikupe vitu vyote, upate raha
I'm caught up in you and am tempted to stay up

Nipepee (oooh beiby)
Nikikuona nazubaa (oooh beiby)
Ooh beiby (oooh beiby)
Ninapandwa na kichaa (oooh beiby)

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do beiby

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do for you

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku!

Anatuvua
Kila akitupa nyavu (anachukua)
Aah visenti vyetu vyote (anatuvua)
Aah mama kila akitupa nyavu (anachukua)
Hatutoki eeh (anatuvua)

Aah-ah akitupa nyavu (anachukua)
Yaani visenti vyetu vyote (anatuvua)
Mama mama ma... (Anachukua)
Yeee ye ye ye ye
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Vee Money on the track yeah

Shawty badder
She got me high kama beat ya S2kizzy
Nisipomuona sekunde nammiss
Najiuliza amenipa ninii?

Kila stori ninayopiga ye ndo mada
Nangombana kabisa wakimdiss
Na kuumia kwa moyo nahisi
Najuliza amenipa niniii?

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
Belong to you, belong to me beiby
Ananivuta vuta kama magneti
Duu na duu na duu na duu beiby

Ananivuta vuta kama magneti
Yeah yeah yeah
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do, ooh yeah

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! Sumaku!

Beiby please,
Tell me once more what you like about the feeling?
Honestly,

I wanna show you am feeling you too
Lemmi take you to a nice place
Tuzime taa

Nivute nikunase, utashangaa
Nikupe vitu vyote, upate raha
I'm caught up in you and am tempted to stay up

Nipepee (oooh beiby)
Nikikuona nazubaa (oooh beiby)
Ooh beiby (oooh beiby)
Ninapandwa na kichaa (oooh beiby)

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do beiby

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you beiby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do for you

Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku! sumaku!
Sumaku! sumaku!

Anatuvua
Kila akitupa nyavu (anachukua)
Aah visenti vyetu vyote (anatuvua)
Aah mama kila akitupa nyavu (anachukua)
Hatutoki eeh (anatuvua)

Aah-ah akitupa nyavu (anachukua)
Yaani visenti vyetu vyote (anatuvua)
Mama mama ma... (Anachukua)
Yeee ye ye ye ye
[ Correct these Lyrics ]

Back to: Jux



Jux - Sumaku Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Jux
Featuring: Vanessa Mdee
Length: 3:22

Tags:
No tags yet