Back to Top

Itakuwa Video (MV)




Performed By: Musical Jahsilva
Language: English
Length: 2:27
Written by: Celine Odindo




Musical Jahsilva - Itakuwa Lyrics




(Intro)
Kama kawa buda boss siunajua eh
Ni Jahsilva

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 1)
Dagoretti ndo nimetoka nasiogopi
Si nitaomoka natia bidii nasichoki
Nko fishy under water hawanioni
Borake nitafika siku moja najua itajipa
Bado ijaanza lipa but mi nangojea mamita
Ukinichimbia futi sita si utajipata umejizika
Sijai anzisha vita ka mi sijui vile itaisha
Najitambua kama winner so akuna kitu inanitisha aah


(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 2)
Lugha niliivisha sa nikibonga wauchizika
Speaker zuuniskiza mi nikikohoa zinaitika
Kalamu mi nikishika si mi uchora image ya winner
Attitude ya looser mi nlimada na nikazika
Siezi nikajiangusha si watiaji watanianika
Hata usiponialika si utashtukia nimejialika
Msupa ata ukiringa siku moja bei mi ntafika
Leo naskuma wiki kesho mi ntaskuma dinga aah

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 3)
Nachezea 180 ata ukiangalia speedometer
Zako nikutuseti pelekesha nauko nigga
Utanionea kwa mneti ju sai vidah bei nafika
Utaonea kwa gazeti vile dago inachachisha
Skuizi joh sihemi mi ni kipchoge si am a winner
Hater sikuchekeshi ka kwa umbali hii ni stima
Luku ni ya kijeshi so siogopangi vita
Daily nko freshi ka ni rada nimesafisha

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


English

(Intro)
Kama kawa buda boss siunajua eh
Ni Jahsilva

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 1)
Dagoretti ndo nimetoka nasiogopi
Si nitaomoka natia bidii nasichoki
Nko fishy under water hawanioni
Borake nitafika siku moja najua itajipa
Bado ijaanza lipa but mi nangojea mamita
Ukinichimbia futi sita si utajipata umejizika
Sijai anzisha vita ka mi sijui vile itaisha
Najitambua kama winner so akuna kitu inanitisha aah


(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 2)
Lugha niliivisha sa nikibonga wauchizika
Speaker zuuniskiza mi nikikohoa zinaitika
Kalamu mi nikishika si mi uchora image ya winner
Attitude ya looser mi nlimada na nikazika
Siezi nikajiangusha si watiaji watanianika
Hata usiponialika si utashtukia nimejialika
Msupa ata ukiringa siku moja bei mi ntafika
Leo naskuma wiki kesho mi ntaskuma dinga aah

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)

(Verse 3)
Nachezea 180 ata ukiangalia speedometer
Zako nikutuseti pelekesha nauko nigga
Utanionea kwa mneti ju sai vidah bei nafika
Utaonea kwa gazeti vile dago inachachisha
Skuizi joh sihemi mi ni kipchoge si am a winner
Hater sikuchekeshi ka kwa umbali hii ni stima
Luku ni ya kijeshi so siogopangi vita
Daily nko freshi ka ni rada nimesafisha

(Chorus)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
Itaja kuwa ka ilikuanga ni ya kukua
Itaja kuwa ady mahater wakipangua
Itaja kuwa buda ka umejitambua
Sema joh itakuwa ka unaamini inaeza kuwa(eeh)
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Celine Odindo
Copyright: Lyrics © Sony/ATV Music Publishing LLC


Tags:
No tags yet