Back to Top

Yamoto Band - Mama Lyrics



Yamoto Band - Mama Lyrics
Official




Tuna mba mba mba na pwani yetu
Tuna mba mba mba na pwani yetu

Zena yamoto band twafanaya yetu eh
Zena yamoto band twafanaya yetu eh

Umenifunza baya na zuri, kipi mi sijasikiaga
Ukanipaga na ushauri uweze kunisaidiaga
Zile teteme nteteme hutaki kuzisikiaga
Nipambane, niweze kukusaidia mama ai
Yalionikuta eh (naiona ngoma leo)
Oh mama eh (naiona ngondoo mie)
Mama dunia sio mbaya mama (naiona ngoma leo)
Oh binadamu mama (naiona ngondoo mie)

Ah mtoto, mtoto
Mi kwako bado mtoto
Usitishwe na miko, yamenishinda nimekuja kwako
Mama oh mameeh
Mama oh mameeh
Mwanao nimekua eh, najionea eh
Mama oh mameeh
Mama oh mameeh
Yale ya dunia eh,
Ulioniambia eh
Aaha

Umenifunza ah, kuna kovu na ndui
Kuna masika na vuli, ndimu sio chungwa
Kuna maziwa na tui, mh mmh
Pia simba na chui

Aee mamee, muda mwingine najisaidia
Hauchoki kufua, mama
Aee mamee, muda mwingine nakuudhi pia
Haukunichukia
Aiya mama

Ni kipi nikufanyie, sikioni mie
Ni kipi nikutendee? sijaona mama
Ah ninavyokupenda mama eh
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mama
Anaejua ni Mungu

Ninavyokupenda mwanangu
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mwanangu
Akulinde mwanangu

Usiku ukifika ulikuwa uki-force mapema mi nilale
Hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule
Usiku ukifika ulikuwa uki-force mwanao mi nilale
Hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule

Mama, uligombana na majirani
Sababu mimi,
Kunitetea hata kama kosa nafanya mimi
Cha kukulipa mimi sioni,
Hapa duniani
Nakuombea uishi miaka mingi we mummy

Nafurahia, najivunia
Uwepo wako we kwenye dunia
Nakuombea, miaka mia
Uishi nisije potea njia
Na nafurahia, najivunia
Uwepo wako we kwenye dunia
Nakuombea, miaka mia
Uishi nisije potea njia, mama wee

Mama dhahabu alonipa baba yako
Miezi tisa umekaa tumboni mwangu
Furaha yangu kukuona machoni mwangu
Kila kukicha, kila kukicha namuomba Mungu
Kila kukicha, kila kukicha akulinde mwanangu

Mama eeh
Naogopa kupotea, we mama
Naogopa kupotea (nisije kukosa radhi)
Naogopa kupotea, we mama
Mama yangu! Oh
Naogopa kupotea, we mama
Naogopa kupotea (nisije kukosa radhi)
Naogopa kupotea, We mama eh, ah aa
Mama yangu oh

Mama nimekosea wapi ninachotaka nitambue
Mama nimekosea wapi nachotaka mi nijue
Mama nimekosea wapi ninachotaka nitambue
Mama nimekosea wapi nachotaka mi nijue

Ah ninavyokupenda mama eh
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mama
Anaejua ni Mungu

Ninavyokupenda mwanangu
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mwanangu
Akulinde mwanangu

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Tuna mba mba mba na pwani yetu
Tuna mba mba mba na pwani yetu

Zena yamoto band twafanaya yetu eh
Zena yamoto band twafanaya yetu eh

Umenifunza baya na zuri, kipi mi sijasikiaga
Ukanipaga na ushauri uweze kunisaidiaga
Zile teteme nteteme hutaki kuzisikiaga
Nipambane, niweze kukusaidia mama ai
Yalionikuta eh (naiona ngoma leo)
Oh mama eh (naiona ngondoo mie)
Mama dunia sio mbaya mama (naiona ngoma leo)
Oh binadamu mama (naiona ngondoo mie)

Ah mtoto, mtoto
Mi kwako bado mtoto
Usitishwe na miko, yamenishinda nimekuja kwako
Mama oh mameeh
Mama oh mameeh
Mwanao nimekua eh, najionea eh
Mama oh mameeh
Mama oh mameeh
Yale ya dunia eh,
Ulioniambia eh
Aaha

Umenifunza ah, kuna kovu na ndui
Kuna masika na vuli, ndimu sio chungwa
Kuna maziwa na tui, mh mmh
Pia simba na chui

Aee mamee, muda mwingine najisaidia
Hauchoki kufua, mama
Aee mamee, muda mwingine nakuudhi pia
Haukunichukia
Aiya mama

Ni kipi nikufanyie, sikioni mie
Ni kipi nikutendee? sijaona mama
Ah ninavyokupenda mama eh
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mama
Anaejua ni Mungu

Ninavyokupenda mwanangu
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mwanangu
Akulinde mwanangu

Usiku ukifika ulikuwa uki-force mapema mi nilale
Hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule
Usiku ukifika ulikuwa uki-force mwanao mi nilale
Hutaki nikeshe wakati kesho inabidi niende shule

Mama, uligombana na majirani
Sababu mimi,
Kunitetea hata kama kosa nafanya mimi
Cha kukulipa mimi sioni,
Hapa duniani
Nakuombea uishi miaka mingi we mummy

Nafurahia, najivunia
Uwepo wako we kwenye dunia
Nakuombea, miaka mia
Uishi nisije potea njia
Na nafurahia, najivunia
Uwepo wako we kwenye dunia
Nakuombea, miaka mia
Uishi nisije potea njia, mama wee

Mama dhahabu alonipa baba yako
Miezi tisa umekaa tumboni mwangu
Furaha yangu kukuona machoni mwangu
Kila kukicha, kila kukicha namuomba Mungu
Kila kukicha, kila kukicha akulinde mwanangu

Mama eeh
Naogopa kupotea, we mama
Naogopa kupotea (nisije kukosa radhi)
Naogopa kupotea, we mama
Mama yangu! Oh
Naogopa kupotea, we mama
Naogopa kupotea (nisije kukosa radhi)
Naogopa kupotea, We mama eh, ah aa
Mama yangu oh

Mama nimekosea wapi ninachotaka nitambue
Mama nimekosea wapi nachotaka mi nijue
Mama nimekosea wapi ninachotaka nitambue
Mama nimekosea wapi nachotaka mi nijue

Ah ninavyokupenda mama eh
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mama
Anaejua ni Mungu

Ninavyokupenda mwanangu
Anaejua ni Mungu
Ninavyokupenda mwanangu
Akulinde mwanangu

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh

Aah, uchungu wa mwana naujua mwenyewe
Aah, raha tumbo kuliona eh
[ Correct these Lyrics ]
Writer: RAY CHARLES, WILL ADAMS
Copyright: Lyrics © BMG Rights Management, Sony/ATV Music Publishing LLC, Songtrust Ave, Warner Chappell Music, Inc.

Back to: Yamoto Band



Yamoto Band - Mama Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: Yamoto Band
Length: 6:00
Written by: RAY CHARLES, WILL ADAMS

Tags:
No tags yet