Back to Top

YP - Dear God Lyrics



YP - Dear God Lyrics




Nimezarauliwa
Nikanyanyaswa
Mwisho apo nikatupwa mimi
Ndipo apo ukaniokota mimi
Mimi mwenye roho mbaya
Ya kila aina Ndipo apo umeniokoa
Ukanileta katika uzuri wako
Kila nacokifanya naamini roho yako
Inaniongoza pale pote napokwenda
Wengi wanakula time
Istoshe wana eat nyama choma
Wakati mimi niko kwenye kona
Siamini yangu maco
Kanisani wanajifanya kondoo
Japo wa-wanafica makuca
Hii kweli nomaa
Wengi tunakwisha
Apa na pale tunabaguwana
Katika haya maisha
Chanzo sisi kucukiana
Kwanini tusiwe na umoja
Kwakuwa Mungu ni umoja
Tunapo pungukiwa
Unatubariki Baba mwenye heri na riziki
Baba mwenye heri yeah
Heri na riziki

They try to put me down, but I still arise
They try to put me down
But I still arise

Baba wewe mwenye sifa
Baba wewe wa taifa
Nimekuwa mzaifu
Sijui vipi nikusifu
Baba aliye hai
Mweye nguvu
Ningekuwa wapi kabisa
Cini ya hii dunia singeweza
Baba mwenye njia
Uliye pokeya mweu
Mwenye ucafu
Ukanifanya mkamilifu
Popote pale nakutegemeya
Sina sehemu nyengine ya kuegamia
Nani mwenye roho kama yako
Popote pale naona love yako
Wewe ndiye wakuabudiwa
Wewe ndiye wakuabudiwa
[ Correct these Lyrics ]

We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.


We currently do not have these lyrics. If you would like to submit them, please use the form below.




Nimezarauliwa
Nikanyanyaswa
Mwisho apo nikatupwa mimi
Ndipo apo ukaniokota mimi
Mimi mwenye roho mbaya
Ya kila aina Ndipo apo umeniokoa
Ukanileta katika uzuri wako
Kila nacokifanya naamini roho yako
Inaniongoza pale pote napokwenda
Wengi wanakula time
Istoshe wana eat nyama choma
Wakati mimi niko kwenye kona
Siamini yangu maco
Kanisani wanajifanya kondoo
Japo wa-wanafica makuca
Hii kweli nomaa
Wengi tunakwisha
Apa na pale tunabaguwana
Katika haya maisha
Chanzo sisi kucukiana
Kwanini tusiwe na umoja
Kwakuwa Mungu ni umoja
Tunapo pungukiwa
Unatubariki Baba mwenye heri na riziki
Baba mwenye heri yeah
Heri na riziki

They try to put me down, but I still arise
They try to put me down
But I still arise

Baba wewe mwenye sifa
Baba wewe wa taifa
Nimekuwa mzaifu
Sijui vipi nikusifu
Baba aliye hai
Mweye nguvu
Ningekuwa wapi kabisa
Cini ya hii dunia singeweza
Baba mwenye njia
Uliye pokeya mweu
Mwenye ucafu
Ukanifanya mkamilifu
Popote pale nakutegemeya
Sina sehemu nyengine ya kuegamia
Nani mwenye roho kama yako
Popote pale naona love yako
Wewe ndiye wakuabudiwa
Wewe ndiye wakuabudiwa
[ Correct these Lyrics ]
Writer: Daniel Nwosu Jr.
Copyright: Lyrics © Sony/ATV Music Publishing LLC

Back to: YP



YP - Dear God Video
(Show video at the top of the page)


Performed By: YP
Written by: Daniel Nwosu Jr.

Tags:
No tags yet